Monday, 11 March 2013
Wednesday, 6 March 2013
MWENYEKITI WA JUKWAA LA WAHARIRI ABOSALAM KIBANDA AKIPIGWA NA KULAZWA MUHIMBILI
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri na Mhariri Mtendaji wa New Habari,
Abdalom Kibanda, amekimbizwa Muhimbili baada ya kuvamiwa na kisha
kujeruhiwa na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi.
Watu hao walimvamia na kumtoa katika gari kisha wakampiga kabla ya kumtupa na kumtelekeza umbali mdogo na nyumbani kwake.
Aliokotwa na majirani na kukimbizwa hospitalini Muhimbili kwa matibabu ya haraka.
Pamoja na kuumizwa hivyo, hakuna kitu hata kimoja kilichoporwa katika gari lake
Watu hao walimvamia na kumtoa katika gari kisha wakampiga kabla ya kumtupa na kumtelekeza umbali mdogo na nyumbani kwake.
Aliokotwa na majirani na kukimbizwa hospitalini Muhimbili kwa matibabu ya haraka.
Pamoja na kuumizwa hivyo, hakuna kitu hata kimoja kilichoporwa katika gari lake
Subscribe to:
Posts (Atom)


























