Sunday, 17 February 2013

CHADEMA WAKUTANA NJIRO COMPLEX, MBOWE AENDESHA KIKAO

MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI CHADEMA JOSHUA NASARI PAMOJA NA MAKADA WENGINE WA CHAMA HICHO WAKIFUATILIA KWA KARIBU MKUTANO WA CHAMA HICHO KANDA YA KASKAZINI, ULIOFANYIKA LEO KATIKA UKUMBI WA NJIRO COMPLEX

WALIOKEI MSTARI WA MBELE NI WAANDISHI WA HABARI NA WENYEWE WALIKUWEPO KWENYE MKUTANO HUO, WA KWANZA KUSHOTO NI PETER SARAMBA, JOHN NGUNGE, PAMELA MOLLEL NA WOINDE SHIZZA

MWENYEKITI WA CHADEMA FREEMAN MBOWE AKIJIBU SWALI LA MWENYEKITI WA BAWACHA ARUMERU MASHARIKI KUHUSU RUZUKU YA KANDA YA KASKAZINI

DIAMOND APAGAWISHA MAMIA YA MASHABIKI ARUSHA, NI KATIKA ONYESHO KALI ALILOFANYA KATIKA UKUMBI MARIDHAWA WA SUNDOWN CANIVOR ULIOPO KISONGO JIJINI ARUSHA

HATA KWENYE SARAKASI SIO MBOVU, HAPA ANAONEKANA AKINYANYULIWA NA VIJANA WAKE



WAKICHEZA STEJINI NA VIJANA WAKE


DIAMOND AKIPITA MBELE YA MASHABIKI WAKE


MASHABIKI WAKIWA MAKINI KUSHUHUDIA ANACHOKIFANYA JUKWAANI DIAMON PLATINUM USIKU WA KUAMKIA LEO KATIKA UKUMBI MPYA WA MARAHA WA SUNDOWN CANIVOR ULIPO KISONGO

MPENZI WA MUZIKI AKIMTUZA DIAMOND BAADA YA KUPAGWA NA MOJA YA VIBAO VYAKE

MABAUNSA WAKIWATOA KINA DADA WALIOPANDA STEJINI KUCHEZA NA DIAMOND


HANA INAONEKANA KAPANDWA NA MZUKA: DIAMOND AKIIMBISHA MASHABIKI WAKE KATIKA UKUMBI WA SUNDOWN CANIVORE KISONGO USIKU WA KUAMKIA LEO

MWANA BLOG WOINDE NA YEYE ALIKUWEPO, ANAYEFUATIA ALIYEGEUZA MGONGO NI MTANGAZAJI WA RADIO 5, ASHURA MOHAMED


SHABIKI AKIMNG'ANG'ANIA DIAMOND KUMBUSU

AKIPENA MIKONO NA MASHABIKI WAKE

WASANII KUTOKA ARUSHA WAKITUMBUIZA KABLA DIAMOND HAJAPANDA JUKWAANI










Saturday, 16 February 2013

MAONI YA PADRI KARUGENDO KUHUSU KUJIUZULU KWA PAPA

 


Kuhusu kuzaliwa kwa Yesu Kitika bilblia unaweza tu kusema
yafwatayo, alizaliwa wakati wa Herode Mkuu akiwa mtawala wa Jimbo la Yudea
chini ya utawala wa Kirumi.
Record za kihistoria za mwisho wa maisha ya Herode Mkuu ni
4 BC. Kwa mujibu wa Matayo Mtakatifu kuzaliwa kwa Yesu kuliwafanya Majusi wa
Mashariki (sages from east) kwenda kumwabudu Mtoto Mfalme Yesu. Kwa kwakutokuwa
na details za alipozaliwa, walikwenda kwa Mfalme Herode Mkuu ili kujua kwa
hakika ni wapi alipozaliwa mtoto Mfalme. Sura ya kwanza ya Matayo hutaja kwamba
Mfalme akisikitishwa na taarifa kwamba kuna mtoto aliyezaliwa naye ni Mfalme na
Sages wamekuja kutoa Ibada (Homage) kwa mtoto, alifadhaika sana. Herode aliamua
kuwauwa watoto wote wakiume waliozaliwa  kama isomekavyo Biblia ya
Kingereza tafasiri ya NIV, Fungu la 16 When Herod realized that he had been
outwitted by the Magi, he was furious, and he gave orders to kill all the boys
in Bethlehem and its vicinity who were two years old and under, in accordance
with the time he had learned from the Magi.

Zingatia: Kwa
tafasiri ya Biblia kama Matayo aonyeshavyo, Mfalme Herode alijumlisha taarifa
mbalimbali zikiwemo za Majusi nakuona kwamba Yesu alizaliwa miaka miwili kabla
ya Majusi kufika kwake. Na hivi Mfalme Herode alifariki BC 4 kama tulivyosema
hapo juu, ni wazi kwamba Yesu kibliblia atakuwa amezaliwa BC 6. Unaweza pia
kusema azaliwa kati ya BC 4 hadi 6.

Kuna theological
justification kwa nini Mungu hakupenda tarehe ya kuzaliwa kwa Yesu ifahamike.
Kiwokovu (Soteriology) Mungu alitaka Ibada isiwe ya Hija kama ambayo wako watu
husafiri kwenda Yerusalem ili kupaona alipozaliwa, aliposulubiwa alipozikwa,
hizi si sehemu ya Mafundisho makuu ya Imani katika Ukristo. Ukristo ni Mungu
anayewatafuta watu na sio watu wanoamtafuta Mungu. The bible story God in
dialogoue with humanity has always been in existential form in that inescapably
God dwells among them, now in shadowy then we shall now him as he is.
Mchungaji

ACJ UPHOLDS DISPUTE SETTLEMENT MECHANISMS UNDER CUSTOMS UNION, COMMON


cid:image001.png@01CE0B7A.458FA300
East African Community
 
EACJ UPHOLDS DISPUTE SETTLEMENT MECHANISMS UNDER CUSTOMS UNION, COMMON
MARKET PROTOCOLS
 
14TH February 2013 Arusha, Tanzania : The EACJ (First Instance Division) delivered a judgment in which the East Africa Law Society had filed a Reference seeking declaratory orders that Article 24 of the Protocol on the Establishment of the EAC Customs Union (which establishes the EAC Trade Remedies Committee to handle matters pertaining to rules of origin, anti-dumping, subsidies and countervailing measures and safeguard measures ) and Article 54 of the Protocol on the Establishment of the EAC Common Market (which provides inter alia that national constitutions , laws and administrative procedures, and competent national authorities shall handle disputes under the Common Market) are inconsistent with the Treaty for the Establishment of the East African Community.
 
In its judgment ,  the Court stated that it has jurisdiction to interpret disputes arising out of the Customs Union and Common Market protocols since these protocols are annexes and integral parts of the Treaty . The Court however decided that the dispute settlement mechanisms created under the Customs Union Protocol and the Common Market Protocol do not exclude, oust or infringe upon its interpretative jurisdiction and that the impugned provisions (Article 24 of the Customs Union Protocol and Article 54 of the Common Market Protocol) are not in contravention of or in contradiction with the relevant provisions of the Treaty.
 
The East Africa Law Society was represented by Prof Frederick Ssempebwa, Mr Richard Onsogo and Mr Humphrey Mtuy. The Counsel to the East African Community, Hon Wilbert T.K.Kaahwa represented the Secretary General who was the Respondent in the Reference.

KENYA, TANZANIA SIGN MoU


cid:image001.png@01CE0B7A.458FA300
East African Community
   
PRESS RELEASE
 
KENYA, TANZANIA SIGN MoU FOR JOINT MANAGEMENT OF LAKES CHALA, JIPE AND UMBA RIVER ECOSYSTEMS
14th February 2013, Kisumu, KENYA: The Governments of the Republic of Kenya and the United Republic of Tanzania have signed a Memorandum of Understanding (MoU) for the joint transboundary management of Lakes Chala and Jipe and the Umba River ecosystems. It was signed during the session of the Coordination Committee of the 11th Sectoral Council of Ministers for Lake Victoria Basin taking place at Tom Mboya Labour College in Kisumu, Kenya.
 
The MoU was signed by Mr. John Rao Nyaoro, the Director of Water Resources on behalf of the Permanent Secretary, Ministry of Water and Irrigation, Republic of Kenya and Eng. Christopher Sayi, Permanent Secretary, Ministry of Water, United Republic of Tanzania.
 
The MoU is meant to establish a Joint Cooperative Framework for sustainable development and management of the ecosystems and help to set up institutional an arrangement for the management of the proposed programme. It also states several obligations of the Lake Victoria Basin Commission including the coordinating programme development and implementation; promoting the sharing of experiences and lessons learned; and providing technical support and advice.
 
The LVBC Secretariat will use experiences and lessons learned from the Transboundary Water for Biodiversity and Human Health in the Mara River Basin (TWBHH-MRB) funded by USAID East Africa and the Mount Elgon Regional Ecosystem Conservation Programme (MERECP) funded by the Governments of the Royal Kingdom of Norway and Sweden to facilitate preparation and implementation of Lakes Chala, Jipe and Umba river ecosystems.
 
The two Partner States agreed to cooperate in the areas of water supply and sanitation, Integrated Water Resources Management (IWRM), natural resources, environmental and ecosystems management, land use practices, capacity building, data and information sharing, research and development.
 
Speaking at the signing ceremony, the LVBC Executive Secretary, Dr. Canisius Kanangire, noted that the signing of the MoU had set a good example in management of transboundary ecosystems in Partner States. Dr. Kanangire expressed the LVBC Secretariat’s commitment to support the implementation of the MoU “as will be directed by the Sectoral Council of Ministers for Lake Victoria Basin.”
 
Lakes Chala, Jipe and Umba river is one of the East African Community transboundary ecosystems shared by Republic of Kenya and the United Republic of Tanzania. This ecosystem is important to communities who use it for fisheries, domestic water supply, livestock and wildlife management of Tsavo West National Park in Kenya and Mkomazi National Park in Tanzania.
 
The ecosystems have been faced with management challenges linked to human activities; poor community involvement in conservation and lack of joint management plan and joint institutional framework to manage it. These challenges have led to the increase in salinity; reduction in fisheries, fish size and increased poverty, leading to migration of communities.
 
Caption DSC 0104.JPG
Left exchanging MoU is John Nyaoro – Director of Water Resources Kenya
Right exchanging MoU is Eng. Christopher Sayi – Permanent Secretary, Ministry of Water Tanzania

Friday, 15 February 2013

RAIS KIKWETE AONGOZA VIONGOZI WA SERIKALI MAZISHI YA ASKOFU DKT THOMAS LAIZER, AKEMEA VIONGOZI WA DINI WANAOENEZA KAULI ZA CHUKI, MARAIS WASTAAFU NA WENYEWE WAHUDHURIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akitia saini kitabu cha maombolezo ya Askofu Thomas Laizer wa Dayosisi ya Kaskazini Kati, la Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), kwenye Kanisa Kuu la KKKT mjini Arusha kabla ya kutoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa Askofu.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akiifariji familia ya Askofu Thomas Laizer wa Dayosisi ya Kaskazini Kati nyumbani kwa Askofu mara baada ya kutoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa marehemu kwenye Kanisa Kuu la KKKT jijini Arusha, Alhamisi, Februari 14, 2013. Picha zote na Fredy Maro wa Ikulu
Na Mwandishi Wetu, Arusha





Alisema watu wengi ndani ya dayosisi  na nje wamenufaika na miradi ambayo imeweza kubuniwa na Marehemu ikiwemo ujenzi wa hoteli, hospitali, kanisa, shule na miradi ya maji vijijini.
“ Marehemu alikuwa mpenda amani na mhubiri mkubwa wa amani na tuige mfano wa kauli zake zilizokuwa na amani na upendo kwa kila mtu,”alisema.
Wakati huo huo Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya biashara  ya CRDB Dkt. Charles Kimei amekiri kuwa Kanisa hilo kudaiwa na benki hiyo fedha nyingi ilizokopa kugharamia ujenzi wa hoteli ya Corridor Spring iliyopo jijini Arusha.
Hata hivyo alisema ucheleweshwaji wa ulipaji wa deni hilo umetokana na mtikisiko wa uchumi duniani ambapo wageni ambao ilitegemea kuwalaza wameshidwa kufika.
Aliwataka waumini kuboresha miradi yote iliyoachwa na marehemu ili kumuenzi mawazo yake jitihada alizokuwa akizifanya kwa ajili ya kusaidia jamii ya kanisa lake na nchi kwa ujumla.
Kwa upande wake Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni na mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe, aliwataka viongozi wa siasa na Serikali kuhubiri unyenyevu ndani ya kanisa na nje.
Alisema viongozi wengi wamekuwa wakihubiri unyenyekevu ndani ya kanisa lakini suala hilo wamelisahau kulifanya nje ya kanisa jambo ambalo ni hatari kwa amani ya nchi.
“ kupitia msiba huu wa mpendwa wetu, ni wakati sasa kwa viongozi wa dini kuwaeleza ukweli viongozi wa Kiserikali pale wanapokosea…hii itasaidia kujirekebisha na kutuacha kuishi kwa hofu,”alisema Mbowe.
Mwenyekiti wa kituo cha demokrasia nchini, James Mbatia aliwataka viongozi wa dini kukaa chini pamoja kujadili amani badala ya kulalamika kuwa amani imekuwa ikitoweka.
Alisema kulalamika sio suluhu ya matatizo yanayolikabili Taifa la Tanzania, lakini kwa kukaa pamoja na suluhu ya kuonyana na kuelimisha mambo mbalimbali yatakayoisaidia nchi kuendeleza amani na utulivu iliyokuwa nayo.
Akitoa salamu za Umoja wa madhehebu ya kikristo nchini (CCT), Askofu Victor Kitula aliitaka Serikali kutolea tamko mauaji ya mchungaji yaliyotokea Geita hivi karibuni kutokana na kile kilichoelezwa kuwa ni vurugu za kujinja.
Alisema kanisa limesikitishwa na kitendo cha Serikali kunyamazia mauaji hayo ambayo wao kikanisa ni makubwa kufuatia aliouawa kuwa ni mchungaji ambae amekuwa akiongoza wakristo jimboni humo.
Ends…


ASKOFU MKUU KKKT TANZANIA, MALASUSA AKIOMBEA KABURI KABLA YA KUSHUSHWA KWA MWILI WA MAREHEMU ASKOFU WA JIMBO LA KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI KATI DKT THOMAS LAISER KATIKA MISA ILIYOFANYIKA USHARIKA WA MJINI KATI. MAREHEMU ALIYEFARIKI FEBRUARI 7 MWAKA HUU AMEZIKWA NDANI YA UZIO WA KANISA HILO

RAIS MSTAAFU WA AWAMU YA PILI, ALLI HASSAN MWINYI PAMOJA NA MKEWE WAKIWEKA MASHADA YA MAUA KATIKA KABURA LA ASKOFU DKT LAIZER LEO JIJINI ARUSHA

MWENYEKITI WA KITUO CHA DEMOKRASIA JAMES MBATIA AKIWEKA SHADA LA MAUA

HILI NDILO KABURI ALIMOZIKWA ASKOFU DKT LAIZER LINAVYOONEKANA BAADA YA ZOEZI LA KUWEKA MASHADA KUMALIZIKA

WAUMINI WAKIENDELEA KUPIGA PICHA MBELE YA KABURA ALIMOZIKWA ASKOFU LAZER NA WENGINE WAKISHANGAA
RAIS MSTAAFU BENJAMIN MKAPA WA KWANZA, MAMA ANNA MKAPA, REGINA LOWASA, NA WAZIRI MKUU MSTAAFU EDWARD LOWASA WAKIFUATILIA KWA KARIBU MISA YA MAZISHI YA ASKOFU LAIZER

ASKOFU MKUU KANISA LA ANGLIKANA NCHINI MOKIWA NA YEYE ALIKUWEPO

ASKOFU MALASUSA AKISOMA MATANGAZO MBALIMBALI WAKATI WA MISA HIYO

MKURUGENZI WA MAKAMPUNI YA IPP, REGINALD MENGI NA YEYE ALIKUWEPO, AMBAPO HATA HIVYO ALISHINDWA KUZUIA HISIA ZAKE NA KUTOKWA MACHOZI KATIKA MAZISHI HAYO

MBUNGE WA SIMANJIRO, CHRISTOPHER OLE SENDEKA NA YEYE PIA ALIKUWEPO

MBUNGE DEOGRATIUS FILIKUNJOMBE AKIFUATILIA MISA YA MAZISHI YA ASKOFU LAIZER KWA MAKINI

NDEWARIO ISSANGYA MTUMISHI WA KANISA LA INTERNATIONAL EVANGELISM AKIFUATILIA MISA YA MAZISHI

KABURI LA ALIMOZIKWA ASKOFU LAIZER

KIONGOZI WA KAMBI YA UPINZANI BUNGENI MWENYEKITI WA CHADEMA NA MBUNGE WA JIMBO LA HAI MKOANI KILIMANJARO, FREEMAN MBOWE AKIWAPA MIKONO YA POLE FAMILI YA MAREHEMU ASKOFU LAIZER MARA BAADA YA KUTOA SALAMU ZAKE, NYUMA YAKE NI MBUNGE WA ARUSHA MJINI GODBLESS LEMA ALIYESEMA MAREHEMU KABLA YA KIFO CHAKE ALIMSISITIZA KUSIMAMIA HAKI ZA WANACHI WA JIMBO LA ARUSHA NA TANZANIA KWA UJUMLA

Thursday, 14 February 2013

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA NA MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA NGUVU ZA ATOMIKI DUNIANI (IAEA) YUKIYA AMANO WAZINDUA JENGO JIPYA LENYE VIFAA VYA KISASA KUSHUGHULIKIA MAGONJWA YA KANSA NCHINI .

Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani)  jijini Dar es salaam mara baada ya kuzindua jengo jipya la Taasisi ya Kansa Ocean Road lililojengwa na serikali ya Tanzania lenye uwezo wa kuhudumia wa 257 kwa gharama ya shilingi bilioni 7.2 huku Shirika la nguvu za Atomiki Duniani (IAEA) likichangia mashine 2 za kutambua sehemu zilizoathiriwa na ugonjwa wa kansa katika mwili wa binadamu zenye uwezo wa kuhudumia wagonjwa 1600 kila moja kwa mwaka.

 Baadhi ya wataalam wa Taasisi ya Kansa ya Ocean Road  wakiwa ndani ya moja ya chumba cha  jengo jipya lililozinduliwa jijini Dar es salaam chenye moja ya mashine yenye uwezo wa kuwahudumia wagonjwa 1600 kwa mwaka. Mashine hiyo imetolewa na Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomiki (IAEA).

Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Kimataifa la nguvu za Atomiki  Duniani Yukiya Amano  akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)  jijini Dar es salaam mara baada ya kuzinduliwa kwa jengo jipya la Taasisi ya Kansa Ocean Road lililojengwa na serikali ya Tanzania huku  shirika hilo likitoa msaada wa mashine mbili kwa za kutambua athari za ugonjwa wa kansa kwenye mwili wa binadamu.

Waziri mkuu wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda (katikati) akiwaonyesha wageni mbalimbali waliohudhuria uzinduzi wa jengo jipya la kuwahudumia wagonjwa wa kansa  katika Hospitali ya Kansa Ocean Road  kitabu cha Mkakati wa taifa wa Kudhibiti na kupambana na Kansa nchini.
Waziri mkuu wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda (katikati) akikata utepe kwa kushirikiana na Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Kimataifa la nguvu za Atomiki  Duniani Yukiya Amano (wa pili kutoka kushoto) kuashiria uzinduzi rasmi wa  jengo jipya lenye  vifaa vya kisasa kwa ajili ya  kuwahudumia wagonjwa wa kansa katika Taasisi ya Kansa leo Ocean Road jijini Dar es salaam. Wengine ni Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa (kushoto), Mkurugenzi mkuu wa Taasisi ya Kansa Ocen Road Prof. Twalib Ngoma (wa tatu kutoka kushoto) na Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dr. Seif Rashid.