Thursday 21 February 2013

RAIS SHEIN ATOA SALAMU ZA MWISHO MAZIKO YA PADRI MUSHI ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein,(kushoto) akitoa salamu ya Mwisho kwa
mwili wa Marehemu Padri Evarest Mushi,katika Kanisa la Minaramiwili
Mjini Zanzibar, Padri Gabriel Mushi,aliyefariki kwa kupigwa risasi na
watu wasijuilikanwa Jumapili iliyopita,na atazikwa leo Kijini Kitope
Wilaya ya Kaskazini B Unguja,(katikati) Askofu wa Kanisa Katoliki
Jimbo la Zanzibar Augustino Shao,[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein,(kushoto) akiweka saini kwenye kitabu cha maombolezo katika kanisa la Minaramiwili
Mjini Zanzibar, Padri Gabriel Mushi,aliyefariki kwa kupigwa risasi na
watu wasiojuiikana Jumapili iliyopita. amezikwa jana Kijini Kitope
Wilaya ya Kaskazini B Unguja,(kushoto) Askofu wa Kanisa Katoliki
Jimbo la Zanzibar Augustino Shao,[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]

No comments:

Post a Comment