Gidabiday
amesema kuwa lengo kuu la press conference hii ni kuwaomba watanzania
kujitolea/kuonyesha uzalendo katika harakati alizozianzisha sasa za
kuanzisha uchangiaji wa kuanzishwa kituo maalumu cha michezo cha Taifa.
Amesema, "progress is a slow process", "huwezi kushinda vita kama huna
eneo la kutrain wanajeshi wako" akimaanisha watanzania hatujachelewa
kuanzisha kituo cha michezo cha taifa bali tunaweza kuanza sasa na
tukafanikiwa, Pia maana ya pili ni hatutaweza kufanya vizuri katika
michezo kimataifa bila ya kuwa na kituo maalum cha kufundishia wachezaji
wetu. (kwa niaba ya Mjengwablog)
No comments:
Post a Comment