Saturday 27 October 2012

KIKOMBE CHA EID EL HAJI NYUMBANI KWA BRO

hapa sio kwa Babu Loliondo, ni supu ya dawa ya kimasai iliyotokana na mbuzi wawili waliochinjwa siku ya Eid jana huko ngaramtoni kwa Bro. Mzee Mangwangi. anayegawa supu hapo ni Omari Mangwangi, wa kwanza kushoto anayekunywa supu ya dawa ni Edward Steven, mwenyekanzu  na kibarakashia ni ustaadh Selemani Said




No comments:

Post a Comment