Tuesday 30 October 2012

WANAFUNZI KWENYE MDAHALO


Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Bassotu Wilaya ya Hanang’ Mkoani Manyara wakiwa kwenye mdahalo wa mabadiliko ya tabia nchi na namna ya kupunguza athari zake ulioendeshwa na Mtandao wa Asasi za kijamii mkoani Manyara (MACSNET) kwa udhamini wa The Foundation For Civil Society

No comments:

Post a Comment