Thursday 25 October 2012

MAFUNZO YA ONLINE JOURNALISM

Washiriki wa mafunzo ya ONLINE Journalism, wakiwa kwenye picha ya pamoja wa kwanza kushoto waliokaa ni Lukelo Mkami( mwezeshaji wa mafunzo hayo), anayefuata Semmy kiondo, na wa mwisho ni Claud Gwandu ambae pia ni mwenyekiti wa APC, waliosimama mstari wa katikati wa kwanza Woinde shizza, Ashura mohamed, Pamella Mollel, Shaban Mdoe, Charles Ngereza, Angelo Mwoleka, Mustafa Leu, Theodora Mrema, Jane Mushi, Anthony Masai, Abraham Gwandu na Ramadhani Siwayombe

No comments:

Post a Comment