Saturday 27 October 2012

SIMBA YAIRARUA AZAM 3-1

Emmanuel Okwi kulia akiwania mpira na Aggrey Moris wa Azam katika pambano kali lililochezwa jana kwenye uwanja Mkuu wa Taifa Dar es saalam huku likishuhudia Simba ikiirarua Azam kwa bao 3-1 licha ya azam kuongoza kufunga. Okwi alipiga goli mbili mwenyewe katika mchezo huo. kwa matokeo hayo Simba imeendelea kushikilia usukani ikiongoza kwa point moja ikifuatiwa na watani wao wa jadi Yanga iliyopata ushindi kiduchu wa bao 1-0 jana dhidi ya JKT Oljoro ya Arusha.

No comments:

Post a Comment