Saturday 27 October 2012

YANGA VS JKT OLJORO LEO SHEKH AMRI ABEID STADIUM

Askari wa Mbwa akiwa kamshikilia mbwa wake kisawasawa tayari kudhibiti mashabiki watakaoingia uwanjani mara baada ya mpia kumalizika. Yanga ilishinda 1-0 dhidi ya JKT Oljoto
Nurdin Bakari akishuka kwenye basi la Yanga kuingia kwenye chumba cha kubadilishia nguo wakijiandaa kwa pambano lao na Jkt Oljoro katika uwanja wa Shekh Amri Abeid Arusha. Yanga ilishinda 1-0 goli lilowekwa wavuni na Mbuyu Twite kipindi cha pili

Wachezaji wa Yanga wakiingia uwanjani wakitoka kwenye vyumba vya kubadilishia nguo  tayari kwa pambano lao na JKT Oljoro ya Arusha leo katika uwanja wa Shekh Amri Abeid Arusha. wa kwanza mbele ni Oscar Joshua, Frank Domayo, Shadrack Nsajigwa na Mbuyu Twite .  Yanga ilishinda 1-0.

No comments:

Post a Comment