Tuesday 30 October 2012

MAANDALIZI YA JIJI - JK KUFANYIA UZINDUZI KATIKA MNARA HUU WA AZIMIO LA ARUSHA

Mafundi wakiendelea na ukarabati wa Mnara wa Mwenge ikiwa ni maandalizi ya uzinduzi wa jiji la Arusha mapema Novemba 2, 2012 na Rais Jakaya Kikwete. pembeni ni viongozi wa Wilaya ya Arusha wakijadiliana kuhusu maendeleo ya ukarabati huo.

No comments:

Post a Comment