Saturday 27 October 2012

MAGAZETINI LEO JUMAPILI








Magazetini leo jumapili: kikubwa kilichojiri kwenye magazeti yetu leo hii ni UVCCM kutwangana. baadhi ya wajumbe walipotua tu Dar es salaam jana walikamatwa na wenzao na kuanza kupewa kichapo wakituhumiwa kutumia rushwa kushinda katika nyadhifa walizokuwa wakizigombea.
Kwa hisani ya mjengwablog

No comments:

Post a Comment