Sunday 4 November 2012

Brigitte Alfred ndie REDDS MISS TANZANIA 2012/13

Warembo waliofanikiwa kuingia hatu5 bora ya Redds Miss Tanzania 2012, kutoka kushoto ni Brigitte Alfred, Eugen Fabian, Happyness Daniel, Edda Sylvester na Magdalene Roy wakipozi kwa picha.






Katikati Brigita Alfred akiwa kwenye vazi la ufukweni, ndie miss Tanzania 2012/13 katika shindano lililofanyika jana Nov3/2012 hoteli ya blue peal


Waongoza Show nzima ya Redds Miss Tanzania 2012, Jocate Mwegelo 'Kidot' na Taji Liundi wakiwajibika.

Mrembo Brigita akipungia baada yakutangazwamshindi na kuvalishwa taji jana

Mrembo anaemaliza muda wake Salha Israel akimvisha taji mrembo mpya Brigita Alfred jana

Mshindi wa Taji la Redds Miss Tanzania 2012, Brigitte Alfred (katikati) akipunga mkono kwa furaha katika picha ya pamoja na mshindi wa Pili, Eugene Fabian (kushoto) na Mshindi wa Tatu, Edda Sylvester mara baada ya warembo hao kutangazwa kuwa washindi wa shindano hilo. Brigitte anatokea Kitongoji cha Sinza na Kanda ya Kinondoni wakati, Eugene anatoka Mkoa wa Mara na Kanda ya Ziwa huku Edda ni Miss Kigamboni na Kanda ya Temeke.


Washiriki wakicheza show ya ufunguzi wakati wa kuanza kwa shindano hilo.

Msanii kutoka THT Rachel nae alipata fursa ya kuonesha kipaji chake na kudhihirisha wazi kuwa yeye ni Mrithi wa Ray C kwa sauti na kiuno Bila mfupa.


 Warembo mbalimbali wa Redd's Miss Tanzania 2012 wakionekana Jukwaani katika vazi la ufukweni.



Fina Recatus akipita jukwaani na vazi la ubunifu. Fina ni Balozi wa Tanga Beach Resort




No comments:

Post a Comment