Thursday 1 November 2012

RAIS KIKWETE AKISUBIRIWA KWA MABANGO NA WANAFUNZI SHULE YA MSINGI MRINGA

Wanafunzi wa shule ya Msingi Mringa wakiwa wamesimama njiani katika eneo la kibaoni  na bango lenye ujumbe unaosomeka "Viongozi ngazi za juu hawalioni hili?" wakilalamikia sehemu ya eneo la shamba la shule hiyo kuporwa na wajanja wachache. ujumbe huo ni mahususi kwa Rais Kikwete ambae leo hii anazindua hospitali ya Wilaya ya Arusha iliyopo Olturumet.

Gari la Askari Polisi likiwa kwenye doria nahapa wanaonekana wakihakikisha wanafunzi wa shule ya msingi Mringa pamoja na wananchi wasifanye fujo baada ya kusimama barabarani na ujumbe wao mbalimbali kwa Rais wakipinga eneo la shule hiyo kuporwa kinyemela.

No comments:

Post a Comment