Thursday 1 November 2012

VIONGOZI WA APC WAKIWA KWENYE KIKAO CHA UTENDAJI

Mwenyekiti wa APC Claud Gwandu anayeonekana mgongo akiongoza kikao cha  utendaji na viongozi wa kurugenzi ya uhusiano na ustawi wa wanachama jana Oktoba 31/2012 katika hoteli ya Golden Rose. wa kwanza kushoto ni mjumbe wa kurugenzi hiyo Abraham Gwandu, anayefuata Cynthia Mwilolezi (Mwenyekiti wa kurugenzi), Mustafa Leo ( Katibu) na Charles Ngereza ( Makamu Mwenyekiti APC).

No comments:

Post a Comment