Tuesday 27 November 2012

SHARO MILIONEA HATUNAE TENA- KALALE PEMA PEPONI KAMANDA

Kamanda wa Polisi mkoani Tanga, Constatine Masawe amekiri kutokea kwa msiba wa Hussein Mkieti ‘Sharo Milionea’, baada ya kupata ajali katika kijiji cha Lusanga, Muheza akiwa katika gari lenye namba za usajili T478 BVR Toyota Harrier, majira ya saa mbili usiku, ambapo pia ndio nyumbani kwao.

MWILI WA SHARO MILIONARE UKIWA UMELAZWA MOCHWARI
Sasa naweza kusema R.I.P Sharomilonea. Maiti ya Sharo Milionea imehifadhiwa hospitali ya Teule Muheza.

No comments:

Post a Comment