Wednesday 26 December 2012

BREAKING NEWS- PADRI APIGWA RISASI HUKO ZANZIBAR

Kwa mujibu wa Breaking News  toka Radio One, Padre  anayejulikana kwa jina la Ambrose Mkenda amepigwa Risasi na Watu  wasiofahamika kwenye gate la nyumbani kwake wakati akifunguliwa gate  aingie nyumbani kwake maeneo Kitomondo Mjini Zanzibar, ambako ndiko  makazi yake yalipo akiwa ndani ya gari aliyokuwa akiendesha pekee yake.

Hali yake sio nzuri kwani Risasi aliyopigwa imemdhuru maeneo ya mdomoni.

Waliompiga Risasi Padre huyo inasemekana ni watu waliokuwa kwenye  pikipiki, ambao walimvamia akisubilia afunguliwe gate kuingia nyumbani  kwake.

Kutoka Jamiiforums

No comments:

Post a Comment