Monday 3 December 2012

TAMASHA MAAZIMISHO SIKU YA UKIMWI DUNIANI KWA VYUO VIKUU ARUSHA


wanafunzi wa vyuo vikuu mkoani arusha wakiwa katika tamasha la siku ya ukimwi duniani  lililofanyika katika ukumbi wa chuo kikuu cha makumira leo, tamasha hilo limeandaliwa na kituo cha radio 5 kwakushirikiana na jumuiya ya afrika mashariki nia ikiwa  kuwahamasisha vijana wasipoteze malengo yao.

No comments:

Post a Comment