Wednesday 26 December 2012

RAIS JK ASHEREHEKEA X-MASS SERENGETI KWA KUWA MGENI RASMI MECHI ZA UJIRANI MWEMA

Mabingwa  wa Kombe la Ujirani Timu ya hoteli ya Seronera wakifurahia ushindi  baada ya kuilaza kwa mabao 5-4 hoteli ya Four Seasons Safari Lodge   katika Uwanja wa Kifaru katika Hifadhi ya Serengeti mkoani Mara .  Hadi mechi inaisha timu hizo zilitoka sare ya 1-1 kabla kupigwa mikwaju  ya penati ambapo Serena walifunga mabao 4 na dhidi ya 3 ya wapinzani  wao.

Nahodha  wa hoteli ya Seronera Jamali Kitongo akifurahia baada ya kukabidhiwa  kombe la Ujirani mwema na Rais Jakaya Kikwetebaada ya timu yake kuilaza  kwa mabao 5-4 hoteli ya Four Seasons Safari Lodge katika Uwanja wa  Kifaru katika Hifadhi ya Serengeti mkoani Mara Hadi mechi inaisha  timu hizo zilitoka sare ya 1-1 kabla kupigwa mikwaju ya penati ambapo  Serena walifunga mabao 4 na dhidi ya 3 ya wapinzani wao.

Rais  Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi nahodha wa timu ya hoteli ya Seronera  Jamali Kitongo kombe la Ujirani mwema baada ya timu hiyo  kuilaza kwa  mabao 5-4 hoteli ya Four Seasons katika Uwanja wa Kifaru katika Hifadhi  ya Serengeti mkoani Mara  Hasdi mechi inaisha timu hizo zilitoka sare  ya 1-1 kabla kupigwa mikwaju ya penati ambapo Serena walifunga mabao 4  na dhidi ya 3 ya wapinzani wao.

Rais  Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya pamoja na timu ya hoteli ya  Four  Seasons Safari Lodge kabla ya kucheza na hoteli ya Serena katika Uwanja  wa Kifaru katika Hifadhi ya Serengeti mkoani Mara. hadi mechi  inaisha timu hizo zilitoka sare ya 1-1 kabla kupigwa mikwaju ya penati  ambapo Serena walifunga mabao 4 na dhidi ya 3 ya wapinzani wao.

Rais  Jakaya Mrisho Kikwete akikagua  timu ya hoteli ya  Serena  kabla ya  kucheza na hoteli ya Four Seasons Safari Lodge katika Uwanja wa Kifaru  katika Hifadhi ya Serengeti mkoani Mara.  hadi mechi inaisha timu  hizo zilitoka sare ya 1-1 kabla kupigwa mikwaju ya penati ambapo Serena  walifunga mabao 4 na dhidi ya 3 ya wapinzani wao.              Picha na IKULU

No comments:

Post a Comment