Saturday 22 December 2012

MAGESA MAGESA AKABIDHIWA RAMBIRAMBI BAADA YA KUFIWA NA MAMA YAKE MZAZI - FEDHA HIZO ZIMECHANGWA NA WANACHAMA WA APC

Mwenyekiti wa Kurugenzi ya Mahusiano ya APC Cynthia Mwilolezi akiwa na mmoja wa wanachama wa APC Veronica Mheta aliyeshuhudia Magesa Magesa akikabidhiwa fedha za rambrambi wa msiba wa mama yake mzazi. Shughuli hiyo ilifanyika ofisi za APC JIJINI ARUSHA

Mwenyekiti wa Kurugenzi ya Mahusiano ya APC Cynthia Mwilolezi akiwa na mmoja wa wanachama wa APC Veronica Mheta aliyeshuhudia Magesa Magesa akikabidhiwa fedha za rambrambi wa msiba wa mama yake mzazi. Shughuli hiyo ilifanyika ofisi za APC JIJINI ARUSHA

Pichani ni Mratibu wa Arusha Press Club (APC) Seif Mangwangi akiwa na Mwenyekiti wa Kurugenzi ya Mahusiano ya APC Cynthia Mwilolezi wakimkabidhi fedha za Rambirambi Magesa Magesa aliyefiwa na mama yake mzazi hivi karibuni. Fedha hizo zimechangwa na waandishi wa habari mkoani Arusha.


No comments:

Post a Comment