Friday 21 December 2012

MAPOKEZI YA CHADEMA MAKAO MAKUU JIJINI DAR ES SALAAM LEO BAADA YA KUTOKA MAHAKAMA KUU YA RUFAA TANZANIA

Wa kwanza kushoto ni Katibu wa CCM Mkoa wa Arusha, Mary Chatanda akiwa pamoja na wanachama watiifu wa CCM Mkoa wa Arusha waliomfungulia kesi ya uchaguzi kupinga ushindi wa mbunge LEMA ambao ni  Agnes Mollel, Happy Kivuyo na anayesoma gazeti  ni Mussa Mkanga wakifuatilia hukumu katika mahakama ya rufaa jijini Dar es salaam leo







MWENYEKITI WA CHADEMA FREEMAN MBOWE AKIHUTUBIA UMATI WA WANACHAMA WA CHAMA HICHO JIJINI DAR ES SALAAM KATIKA OFISI ZA CHADEMA MAKAO MAKUU LEO KINONDONI MARA BAADA YA KUTOKA MAHAKAMA KUU NA MBUNGE LEMA KUREJESHEWA UBUNGE WAKE. KUSHOTO KWA MBOWE ALIYEVAA KOFIA NYEKUNDU NI MWENYEKITI WA CHADEMA VIJANA MKOA WA ARUSHA NDUGU NOEL

No comments:

Post a Comment