Wednesday 26 December 2012

WAZIRI MKUU MSTAAFU EDWARD LOWASA ASHEREHEKEA X-MASS ZANZIBAR

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli,Mh. Edward  Lowassa na mkewe Mama Regina Lowassa wakiungana na Wakristo wengine  kwenye ibada ya Sikukuu ya Krismas iliyofanyika leo kwenye Kanisa la  Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT),Mwanakwerekwe  Zanziba

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli,Mh. Edward  Lowassa akitoa salaam za Xmas kwenye Kanisa la Kiinjili la  Kilutheri Tanzania (KKKT),Mwanakwerekwe Zanzibar mara baada ya ibada ya  Sikukuu hiyo leo.Mh. Lowassa;yuko visiwani humo kwa mapumziko  ya sikukuu hiyo,ambapo amewataka watanzania kusherehekea sikukuu hizi za  krismas na mwaka mpya kwa amani na upendo huku tukilinda umoja na  mshikamano uliojengwa na waasisi wetu Mwalimu Julius Nyerere na Sheikh  Abeid Karume.

No comments:

Post a Comment